Mtu mmoja afariki kwa kipindupindu Musoma, saba walazwa
“Nimeambiwa mtu mmoja amefariki na wengine saba wamelazwa, niwaagize wakuu wote wa wilaya na watu wa afya hakikisheni huu ugonjwa haufiki kwenye wilaya zenu, na kwa Musoma hakikisheni huu ugonjwa...